Saturday, December 5, 2009

Habari katika picha



Nikiwa na Peik Johanson toka Finland. Johanson alikuwa mkufunzi wetu katika mafunzo ya internet yaliyofanyika jijini Mwanza Novemba 2009

Mwanza view

Mwanza ni mji mzuri ulio kwenye mwambao wa Ziwa Victoria, utazame kwa uchache wakati ukisubiri vitu vikali zaidi.bofya Mwanza

Thursday, November 26, 2009

Watu 142 wakumbwa na mafua ya nguruwe Mwanza

Na George Ramadhan,Mwanza.

WILAYA ya Kwimba mkoani Mwanza imekumbwa na mlipuko wa ugonjwa wa mafua ya nguruwe ambapo watu 142 wakiwemo wanafunzi na walimu wa shule ya msingi Ilula wamethibitika kuugua ugonjwa huo.

Mganga Mkuu wa mkoa wa Mwanza Dk.Meshack Massi amewaambia waandishi wa habari jijini hapa jana kuwa mlipuko wa ugonjwa huo ulianza Novemba 19 kwa jumla ya wanafunzi 56 wa shule ya msingi Ilula kuonyesha dalili za ugonjwa huo.

Alizitaja dalili hizo kuwa homa ya ghafla, kuumwa kichwa, maumivu ya viungo, maumivu ya misuli na uchovu, kikohozi, mafua, maumivu ya koo, kuhisi baridi na kutetemeka pamoja na kukosa hamu ya kula.

Alisema kwamba baada ya Mwalimu Mkuu wa shule hiyo kuona dalili hizo alitoa taarifa ambapo sampuli zilichukuliwa na kupelekwa jijini Dar es salaam kwa uchunguzi zaidi na majibu yamethibitisha kuwa ni ugonjwa wa mafua ya nguruwe.

Kwa mujibu wa Dk.Massi, baada ya wagonjwa 56 wa kwanza, siku ya pili walibainika wagonjwa wengine 30, siku ya tatu wagonjwa 8, siku ya nne wagonjwa 7, siku ya tano wagonjwa 30, siku ya 6 wagonjwa wanane na siku ya 7 waliongezeka wagonjwa wengine watatu.

Aliongeza kwamba miongoni mwa wagonjwa hao wamo wanafunzi, walimu na wakazi wengine wa kijiji cha Ilula lakini akasema kuwa mchanganuo unaoonyesha idadi kamili ya wanafunzi, walimu, wanakijiji na jinsi zao ingepatikana baadaye.

Alisema kuwa uchunguzi unaonyesha ugonjwa huo ulianzia kwa mwanafunzi mmoja ambaye baba yake ni mfanyabishara wa kuuza kuku anayesafiri mikoa mbalimbali hivyo inaaminika kuwa pengine ndiye aliyeleta wadudu wa ugonjwa huo na kusababisha mlipuko.

Hata hivyo alisema kwamba tayari wagonjwa wote wamepewa dawa zilizotolewa na Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii huku wakiwa chini ya uangalizi katika vyumba vya madarasa vya shule ya msingi Ilula.

Dk.Massi alisema kwamba kufuatia kuwepo kwa mlipuko wa ugonjwa huo imelazimu shule ya msingi Ilula kufungwa kwa muda ili kutoa fursa kwa madarasa ya shule hiyo kutumiwa kama kambi ya wagonjwa wanaoendelea kupatiwa matibabu.

Ametoa wito kwa wakazi wa mkoa wa Mwanza na wananchi kwa ujumla kuchukua tahadhari kwa kuepuka kukaribiana na wagonjwa lakini pia kwa kujifunga vitambaa puani na mdomoni ili kuepuka kuambukizwa ugonjwa huo.

Aidha aliwataka wananchi pindi wanapokohoa, kupiga chafya au kupiga miyayo kuhakikisha wanaziba midomo yao kwa vitambaa ili kuepuka kusambaa kwa wadudu wanaosababisha homa ya mafua ya nguruwe.

Gazeti la Nipashe Jumapili ndilo lilikuwa la kwanza kuripoti juu ya wanafunzi wa shule ya msingi Ilula kuugua ugonjwa usiojulikana baada ya jumla ya wanafunzi 56 pamoja na mwalimu mmoja kulalamika maumivu ya kichwa na kupiga makelele.

Hata hivyo Kaimu Mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya Kwimba Boaz Pius alisema kwamba baada ya kufanyiwa vipimo vya awali wanafunzi hao walibainika kuwa na vimelea vya ugonjwa wa malaria ambapo walitibiwa lakini wanne kati yao hali zao zilikuwa mbaya hivyo kulazimika kupumzishwa katika zahanati ya eneo hilo .

Mwisho.

Friday, October 30, 2009

Internet Training on day four


Me and my colegues during internet training class at BoT Institute-Mwanza

Global warming endangers Mt.Kilimanjaro’s livelihood


This is how the Mountain Kilimanjaro seen. No huge amount of snow anymore

By George Ramadhan.

As we have reached fourth day of internet training for Lake Zone Journalists, we took time to learn how to use internet for cross checking facts in order to flourish our articles before to print.

Also the trainer directed us how to use different website to search for information and write a well analytical stories where at the end of day four Peik Johanson (The Trainer) gave out the participants a practical assignment to write a feature story by using information found in different website as we learnt in the morning.

He provided at least six topics and asked the participants to choose one of them and write a feature story by using any useful website (s).

Myself I chose a topic about “Climate change and Mount Kilimanjaro” to construct my feature story. It was very interesting that when I checked with a participant sitting next to me Victor Maleko I found he also chose the same topic to do his assignment. Down here’s my feature story.

IT is believed that the climax Mt. Kilimanjaro would be gone in 10 years to come if deliberately precaution measures should not be put in place to overcome the situation.

Economically the Mount Kilimanjaro attracting between 25,000 and 40,000 foreign and local tourists per year and sustains livelihood activities to at least four million people surrounding it from both countries Tanzania and Kenya through agricultural, tourism and other business undertakings.

According to an article written early this year by Tanzanian Journalist Apolinari Tairo and posted to www.eturbonews.com, a team of Austrian scientists from University of Innsbruck predicted in 2007 that the plateau ice cap will be gone by 2020, but some ice on the slope will remain longer due to local weather conditions.

The loss of foliage causes less moisture to be pumped into the atmosphere, leading to reduced cloud cover and precipitation and increased solar radiation and glacial evaporation, reports show. In this complex interplay of nature and human actions, some ecological zones are expanding and others are shrinking.

The article also narrated that in 2002, a study led by Ohio State University ice core pale climatologist Lonnie Thomson predicted that ice on top of Africa’s tallest peak would be gone between 2015 and 2020 or few years later.

These and other many predictions came at the time when the world is experiencing a global warming which have created a lot of worries among people believing that there will be a big possibility of disappearing of some creations if the situation continuing for a long period to come.

Some of scientists and researchers believe that if current climatic conditions continue, the renowned glaciers, icing the peaks of Africa's highest peak for nearly 12,000 years, could be gone entirely by 2020.

"Just connect the dots. "If things remain as they have, in 15 years Kilimanjaro's glaciers will be gone." Observed Ohio State University Geologist Lonnie Thompson when talked to a reporter whose article found in National Geographic website.

However there are different opinions from other people who have been quoted saying that, deforestation in the areas surrounding Mount Kilimanjaro, and not only global warming, might be among human influence on glacial recession.

"Clearing for agriculture and forest fires-often caused by honey collectors trying to smoke bees out of their hives-have greatly reduced the surrounding forests," said Douglas R. Hardy, a Climatologist at the University of Massachusetts in Amherst, who monitored Kilimanjaro's glaciers from mountaintop weather stations since 2000. He was talking to Andrea Minarcek a reporter with National Geographic Adventure.

In a report “Climate change and Kilimanjaro” found at www.climbmountkilimanjaro.com stated that of 19 square kilometers of glacial ice to be found on Africa, only 2.2 square kilometers can be found on Mount Kilimanjaro. Unfortunately, both figures used to be much higher.

According to the report, Kilimanjaro’s famous glaciers have shrunk by a whopping 82% since the first survey of the summit in 1912. Even since 1989, when there were 3.3 square kilometers, there has been a decline of 33%. At that rate, say the experts, Kilimajnaro will be completely ice-free within the next decade or two.

Telling about climatic change, a report by Organization for Economic Co-operation and Development (OECD) has observed that less publicized and possibly far more significant impact of climate change on Mount Kilimanjaro is the intensification of fire risk and its attendant impacts on biodiversity as well as ecosystem services.

According to a report, in theory rising temperatures should result in the upward migration of vegetation zones, as observed in the Alps by GRABHERR & PAULI (1994). This effect however has been offset by the intensification of fire risk as a result of warmer temperatures and declining precipitation. This risk is particularly acute in the vast ericaceous belt in the upper reaches of the vegetation. Consequently, climatic changes have actually pushed the upper forest line downward on the Kilimanjaro.

Wednesday, October 28, 2009

INTERNET AS A TOOL IN JOURNALISM

Dear all, today (October 28, 2009) was a third day since we, Lake Zone Journalists started our five days training about the use of internet in our daily activities.

Led by our Trainer Peik Johanson we spent reasonable time to learn how to use emails (internet) as a tool in journalism.

The Trainer gave out to the participants some skills (email communication skills) and he stressed several time that it is very important to think before you write ana email and not when you write. According to him this is a good way of avoiding to write something which is boring or difficult to read and understood by the one you are intending to communicate with.

The Trainer also said that by using internet, Journalists can get press release through email instead of ordinary way like envelop etc.

Among other many things, on my side the salient subject of the day was how to use many different website like darhotwire.com to look for any information you want arround the world. For instance Mr. Johanson showed us a website with the headline “African Studies Internet Resource where we found a lot of information about economy development, environment, health and internet in different African countries.

In fact this gave me a surprise because I recognized that there’s a lot of very useful information and written materials which we might need it but we couldn’t access them because of what I can call “internet illiteracy”

As I have said two days ago, it is my hope that after this training, we’ll not remain the same because we have learned a lot about internet so far. I have no an appropriate word to express what kind of people I am going to be but let me say that this is very fantastic!!

Tuesday, October 27, 2009

Second Day on Internet Training for Lake Zone Journalists

Thanks to the Almighty as He allowed me to reach the second day on internet training conducted by Mr. Peik Johanson, a Training Consultant and Senior Journalist working under The Finish Foundation for Media, Communication and Development.

The day was wonderful as we went through many different websites and learn how as Journalists can use it to make our job more effective.

A very significant thing which I have learned today was how to open and host my own blog where I will be able to post my stuffs and make other people to read and provide their comment on a particular topic, article, picture or any other subject.

To me this is a very big achievement because even if we have not yet completed our training but I feel more confident to search for information as much as possible on internet than I did before.

This is my observation for today.
Thanks to everybody and I love you.